Rais Magufuli amtumbua Naibu Kamishna wa Uhamiaji

Rais John Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi kwa naibu kamishna wa uhamiaji kwa tuhuma za kuingiza nchini humo raia 50 wa Somalia na kuwapa vibali vya kuishi. Kupitia waziri mkuu Kassim Majaliwa kiongozi huyo ametaka kusimamishwa kazi mara moja kwa Bi Grace Hokororo na kuundwa kwa tume itakayochunguza utoaji wa vibali vya uraia nchini humo. Kauli…

Ujumbe mkali wa Diamond Platnumz kwa wanaomuandama Zari kuhusu Msiba wa Mama Yake

Diamond Platnumz ametoa kauli ya kwanza baada ya mama watoto wake ‘Zari The Boss Lady’ kuandamwa sana IG Kuhusu kutoonyesha uzuni,majonzi kwenye msiba wa mama yake, kusahau mapema sana msiba na kuendelea kula bata. Ujumbe mkali wa Diamond Platnumz kwa wanaomuandama Zari kuhusu Msiba wa Mama Yake Ulisema… “Kuna vichupi kunuka wanajifanya wanajua sana uchungu wa Misiba ya watu…. Mtoto…

Teknolojia mpya katika sekta ya Ujenzi

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali kuleta maendeleo kwa wananchi kampuni ya magari ya Mantrack Tanzania imeendesha warsha fupi kwa lengo la kutambulisha vifaa na teknolojia mpya itakayoongeza ufanisi wa kazi hasa katika sekta ya ujenzi. Akizungumza na waandishi wa habari, Mwakilishi wa Mantrack Tanzania alisema wana lengo la kuendana na kasi ya Serikali ya…

Jada Pinkett;Ndoa yangu imedumu kwa miaka 20 kutokana na…

Mke wa mwigizaji Will Smith ,Jada Pinkett Smith amefunguka kuhusu ndoa yake kufikisha miaka 20, mnamo december mwaka huu nakusema urafiki na mume wake umesaidia kudumisha ndoa yao. Jada anasema hakuna kitu kigumu kama maisha ya ndoa ila urafiki na Will Smith umesaidi kumudu matatizo yetu. Jada yuko kwenye ziara ya vyombo vya habari akitangaza filamu yake mpya Girls Trip 

BREAKING NEWZ: Mama mzazi wa mpenzi wa Diamond, Zari the boss amefariki

Mama mzazi wa Zari The Boss Lady ambaye ni mpenzi na mzazi mwenza wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz amefariki dunia asubuhi hii baada ya kuumwa. Kupitia Instagram yake asubuhi hii Zari amethibitisha kifo cha mama yake akiandika>>> ”Kwa huzuni kubwa mimi na familia yangu tunatangaza kifo cha mama yetu mpendwa aliyefariki asubuhi hii. Roho yake ilazwe pema, Allah…

IDRIS SULTAN AZIDI KUNG’ARA KATIKA TASNIA YA UIGIZAJI.

Aliyewahi Kuwa Mshindi Wa Big Brother Africa Ambaye Kawasasa Ni Mtangazaji Wa Kituo Kimoja Cha Radio Nchini Tanzania Idris Sultan,Moja Kati Ya Kijana Ambaye Ameweza Kuwavutia Wengi Kutokuogopa Kujaribu Katika Mambo Mbali Mbali Licha Ya Baadhi Kufurahia Na Wengine Kuchukia Lakini Ucheshi Wake Pamoja Na Kujituma Kwake Ndio Nguzo Kuu Zaidi Ambayo Inamfanya Kijana Huyu…

MAAJABU DODOMA: Mtu kazikwa, siku 3 baadae kawapigia simu ndugu

Dunia na maajabu yake ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo July 18 2017 kupitia Leo Tena ya Clouds FM mtangazaji Geah Habib kuinasa Hekaheka iliyotokea Dodoma ambako ndugu walipata taarifa za msiba wa ndugu yao na wakathibitisha ni yeye kisha wakamzika lakini siku 3 baadae Marehemu akapiga simu. Imeelezwa kuwa kijana huyo aliyejulikana kama Seif aliuawa na kisha mwili wake kutupwa Morogoro na ndugu walipoufuatilia…

Marufuku kutumia ‘Drones’ bila kibali

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imepiga marufuku urushwaji angani wa vifaa vya kieletroniki visivyo na rubani (drones) bila kupata kibali maalum. Taarifa ya TCAA iliyotolewa kwa vyombo vya habari, imesema kuwa, kwa taasisi au mtu binafsi kufanya majaribio au kurusha drones, ni lazima apate idhini ya Wizara ya Ulinzi na Usalama pamoja na…

Muigizaji azungumza kuhusu ”mauaji” ya Trump

Muigizaji wa filamu Johny Depp alitishia kumuua rais wa Marekani Donald Trump wakati wa hotuba katika sherehe za Glastonbury. Je unaweza kumleta Trump hapa? Aliwauliza mashabiki huku akizindua filamu yake ya The Libertine. Baada ya kuzomwa na mashabiki aliongezea: Hamukuelewa kabisa ni lini muigizaji alimuua rais? Nataka kuweka wazi ,aliongezea. ”Mimi ni muigizaji. Ninadanganya ili…

Salah avunja rekodi ya dau la usajili Liverpool

Liverpool wamekamilisha dili la usajili winga Mohamed Salah, kutoka As Roma ya Italia, kwa dau la Pauni million 39. Usajili wa winga huyu umevunja rekodi ya usajili kwa wachezaji waliowahi sajiliwa na timu hiyo ambapo usajili wa gharama zaidi ulikuwa wa mshambuliaji Andy Carrol, aliposajiliwa kwa dau la pauni milioni 35 mwaka 2011. Salah raia…