Staa kutoka wa Bongofleva Harmorapa ameendelea kutrend kwenye headlines mara hii akiingia studio kwa ajili ya kufanya collabo ya kimataifa baada ya kumleta nchini staa wa muziki kutoka Ubelgiji Kriticos.
Kriticos ni msanii kutoka Ubelgiji mwenye asili ya Tanzania na Zambia amefika nchini kufanya kazi na Harmorapa ambapo leo April 7, 2017 walipata nafasi ya kuzungumza na AyoTV Entertainment
Cheki video kwa kubofya hapa AyoTV Entertainment